Alhaji Kimbisa Awataka Viongozi CCM kufanya Mikutano
Na Barnabas Kisengi Dodoma. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma CCM Alhaji ADAM KIMBISA ameitaka kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi kata ya kilimani kuhakikisha inasima na kuhakikisha viongozi wa cha na Serikali wanafanya mikutano ya adhara kwa Wananchi naekuwaekeza miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na RAIS
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed